Vigogo wa Simba na Yanga wameandaa bonasi za mil 900 kama sehemu ya morali kuboost ushindi kwa timu zao.
Mohammed Dewji ‘Mo ameandaa mil 500 kwa wachezaji wa Simba huku GSM akiweka mil 400 kwa wachezaji wa Yanga sc.
.
Nani hela yake itamlipa matokeo?!
x