ZIJUE FAIDA TANO ZA KUTUMIA VITUNGUU SWAUMU

chuwaz.com


Kitunguu saumu ni kiungo muhimu katika kaya nyingi kwenye mapishi.

Pia kinajulikana kwa sifa zake za dawa.

Mtaalamu wa Lishe Kerry Torrens anaeleza kwa nini?

Kitunguu saumu ni nini?

Kitunguu saumu ni moja ya mimea ya zamani zaidi duniani na ni mmea mgumu wa kudumu wa familia ya Liliaceae.

Mimea mingine ya familia hii ni pamoja na kitunguu maji na kitunguu cha majani.

Wanatofautishwa na harufu ya kupendeza na ladha maalum.

Tembe zake zenye mfanano wa weupe hivi ndizo zinazotumika.

Umuhimu wa tembe ya kitunguu saumu

• 4Kcal / 16KJ

• 0.3g protini

• 0.0g mafuta

• 0.7g wanga

• 0.2g fiber

• 25mg potasiamu

vitunguu saumu kikavu ilitumiwa.

Uchunguzi pia unaonyesha kuwa kula vitunguu kunaweza kupunguza dalili za kuchochea ugonjwa wa yabisi-kavu unayozorotesha mifupa ya maungo.

Faida za Kiafya za Kitunguu Saumu Pori

 Faida za kiafya za vitunguu pori pia huitwa kitunguu saumu cha dubu na kitunguu saumu zinafanana sana.

Vyote viwili vina aina mbalimbali za misombo yenye dawa, ikiwa ni pamoja na kuwa na kemikali zinazozuia viini na kuvu.

Lakini vitunguu pori vilionekana kuwa na mwitikio mkubwa  zaidi katika kupunguza shinikizo la damu kuliko vitunguu vya kawaida.


Je, vitunguu saumu ni salama kwa kila mtu?

Suala la kitunguu saumu kuleta wasiwasi kuhusu usalama na mizio ni nadra.

Ikiwa unachukua virutubisho vya vitunguu kwa udhibiti wa cholesterol, angalia viwango vyako vya cholesterol baada ya miezi mitatu.

Kiwango cha kila siku kinachopendekezwa cha vitunguu ni kati ya ½ hadi 1 tembe nzima kwa siku (karibu 3,000 hadi 6,000 mcg ya allicin).

Tafadhali kumbuka kuwa baadhi ya watu wanaweza kukumbana na kukosa kusaga chakula, gesi tumboni au kuhara wanapotumia kiasi kikubwa cha vitunguu saumu.

Chanzo

BBC Swahili

Previous Post Next Post

No Thumbnail

News app yako bomba sasa unaweza idownload kwa kubonyeza batani ya download hapa ,