China yarusha satalite mpya angani


China jana (Alhamisi) ilifanikiwa kutuma satelaiti mpya angani kutoka Kituo cha Urushaji Satelaiti cha Xichang kilichoko kusini-magharibi mwa Mkoa wa Sichuan nchini China.
Satelaiti hiyo, Zhongxing-6E, ilizinduliwa saa 7:23 usiku. (Saa ya Beijing) kwa roketi ya kubeba ya Long March-3B na kuingia kwenye obiti iliyopangwa kwa mafanikio.

Uzinduzi huu uliashiria dhamira ya 496 ya kutumia roketi ya kubeba mfululizo ya Long March.
Chanzo
China Xinhua News
Previous Post Next Post

No Thumbnail

News app yako bomba sasa unaweza idownload kwa kubonyeza batani ya download hapa ,