Mchezaji wa mpira wa miguu Raphael Dwemena afariki dunia akiwa uwanjan

Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Ghana, Black Stars, Raphael Dwamena (28) amefariki dunia baada ya kuanguka uwanjani leo Baada ya kupata mshtuko Wa moyo Dakika ya 23 ya Mchezo wakati wa mechi kati ya timu yake ya Egnatia Rrogozhine ya nchini Albania dhidi ya Partizani.

Dwamena aligundulika kuwa na tatizo la moyo mwaka 2017 ambapo alifanyiwa upasuaji na kuwekewa kifaa cha kurekebisha mapigo ya moyo mwaka 2020.
 
Licha ya hatua hiyo ya matibabu, Dwamena alipata tena shida mwezi Oktoba 2021 alipoanguka uwanjani katika mchezo kati ya Blau-Weiss na Harterg katika Ligi ya Austria.

R.I P Raphael Dwamena 🕊️
Previous Post Next Post

No Thumbnail

News app yako bomba sasa unaweza idownload kwa kubonyeza batani ya download hapa ,